Nenda kwa yaliyomo

Gotham City

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Mahali pa jiji la Gotham.

Gotham City ni jiji linaloonekana katika gazeti la katuni linalomilikiwa na DC Comics.

Jiji linafahamika zaidi kama ni nyumbani kwa Batman. Mahali pa kuishi pa Batman palitambulishwa kama Gotham City kwenye sehemu ya 4 ya Batman (Winter 1940).

Vyanzo

Viungo vya Nje