Nenda kwa yaliyomo

Yerusalemu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu za Mji wa Yerusalemu


Yerusalemu

Ukuta wa Maombolezo na Kuba ya Mwamba mjini Yerusalemu

Seal

Flag
Jina la Kiebrania יְרוּשָׁלַיִם (Yerushalayim)
Jina la Kiarabu القـُدْس (al-quds);
rasmi: أورشليم القدس
(urshalim-al-quds)
Maana ya Jina Kiebrania: "Urithi wa amani",
Kiarabu: "(Mji) mtakatifu"
Utawala Mji
Wilaya
Wakazi 801,000 (Wayahudi 68%, Waislamu 30%, Wakristo 2%) (2011)
Eneo 126,000  (126 km²)
Meya Zaki al-Ghul
Nir Barkat
Tovuti rasmi www.jerusalem.muni.il

Yerusalemu (kwa Kiebrania ירושלים, Yerushalayim; pia: Kudisi kutoka Kiarabu: القدس, al-Quds) ni mji wa Mashariki ya Kati wenye pande mbili. Kwa upande mmoja ni mji mkuu wa Israel. Kwa upande mwingine Yerusalemu ya mashariki inatazamwa kuwa mji mkuu wa Palestina, ingawa imetawaliwa na Israel pia tangu 1967. Israel imetangaza tangu mwaka 1980 Yerusalemu yote kuwa mji wake mkuu wa milele, lakini nchi nyingi za dunia hazikubali azimio hilo, hivyo balozi za nchi za kigeni katika Israel ziko nje ya Yerusalemu.

Yerusalemu ina historia ndefu sana.

Yerusalemu katika dini

[hariri | hariri chanzo]

Ni mji muhimu katika dini tatu zinazofuata imani ya Abrahamu, yaani Uyahudi, Ukristo na Uislamu. Daudi mfalme ndiye aliyeufanya kuwa mji mkuu

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]

Serikali

Historia

Elimu

Ramani

Dini

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Yerusalemu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.