Ujuzi Quotes

Quotes tagged as "ujuzi" Showing 1-3 of 3
Enock Maregesi
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Hutaweza kufikia malengo yako kikamilifu bila msaada wa wataalamu – Hata kama una kipaji au ujuzi kiasi gani.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Ukiwa na kipaji nenda shule kurekebisha kipaji chako, ukiwa na ujuzi nenda shule kurekebisha ujuzi wako.”
Enock Maregesi